UNICEF yahaha kuwanususru wahanga wa mafuriko Malawi




Idhaa ya Redio ya UM show

Summary: Baada ya kuwa na wakati mgumu kufuatia  mafuriko, wakazi wa Malawi sasa wanapatiwa misaada ya kibinadamu ikiwamo vyombo vy a ndani na malazi. Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF kwa kushirikiana na wadau kadhaa wanahakikisha maisha ya watu hawa yanarejea kuwa ya kawaida. Ungana na Joseph Msami katika makala ifuatayo.